TRANSLATE THIS BLOG

Monday, January 7, 2013

Andre Ayew out of Ghana squad

Meneja wa Ghana  Kwesi Appiah amethibitisha ya kwamba winga wa club toka ufaransa  Marseille  Andre Ayew hatoshiriki michuano ya African Nations Cup kwa mwaka huu 2013 huko Africa ya Kusini inayotarajiwa kuanza kutimua vumbi lake tarehe 19 mwezi huu..

Ayew, 23,ameshindwa  kureport katika kambi ya timu ya taifa ya Ghana huko Abu Dhabi kutokana na kuwa majeruhi( hamstring injury), kwa maana hiyo hatokuwa katika kikosi cha wachezaji 23 kitakacho minyana huko kusini mwa Africa

Appiah said in a statement on Monday: "Unfortunately, Andre failed to report to camp and indicated that owing to the treatment he was receiving from his doctor he would report to camp on Wednesday.

kulingana na mwenendo mzima ulivyo sasa Appiah amesema kwa sasa ataendelea na wachezaji waliopo katika kambi yake,hata hivyo meneja huyo amesema Ayew atakuja kutumika siku za usoni akiwa Fit!!........

.Ayew ni mmoja ya wachezaji muhimu katika kikosi cha timu ya Taifa na mwaka 2011  alitajwa kama ndie mchezaji bora wa mwaka huo.


No comments:

Post a Comment