TRANSLATE THIS BLOG

Monday, February 25, 2013

  YANGA WAINGIA KAMBINI KATIKATI YA JIJI

 
Baada ya kuichapa timua ya Azam FC kwa bao 1-0 mwishoni mwa wiki, timu ya Young Africans Sports Club leo imeingia kambini katika Hoteli ya Tansoma katikati ya jiji kujiaandaa na mechi inayofuata dhidi ya timu ya Kagera Sugar, mchezo utakaofanyika siku ya jumatano katika dimba la Uwanja wa Taifa kuanzia majira ya saa 10 jioni.
Young Africans ambayo iliwapa furaha washabiki, wapenzi wa soka na wanachama wake kwa soka safi la ufundi wa hali ya juu, itashuka dimbani kuwakabili wakata miwa hao ambao katika mchezo wa awal waliibuka na ushindi wa bao 1-0 mchezo uliofanyika katika dimba la Kaitaba mjini Bukoba.
                                                       kikosi cha Dar Youn African
Young Africans yenye jumla ya point 39 na mabao 34 ya kufunga na mabao 12 ya kufungwa itashuka dimba la uwanja wa Taifa kuhakikisha inaibuka na ushindi katika mchezo huo ili kuendelea kuongoza  msimamo wa Ligi Kuu ya VPL na hatimaye iweze kutwaa Ubingwa huo.
Mara baada ya mazoezi ya leo asubuhi, kocha mkuu Brandts amesema anashukuru vijana wake kwa kufanya kile alichowaagiza, nidhamu ya hali ya juu na kushika maelekezo yake ndio vitu vilivyopelekea kuendelea kuibuka na ushindi katika michezo mbali mbali waliyocheza.
Nawapongeza washabiki, wanachama na wapenzi wa Yanga waliojitokeza kwa wingi siku ya jumamosi, kuja kuwashangilia vijana, kikubwa nawaomba waendelee na moyo huo huou kwani waliwapa nguvu vijana na kuwafanya wacheze kwa kujiamini mda wote wa mchezo 'alisema Brandts'.
Aidha Brandts alisema matokeo ya juzi yameendelea kuiweka Yanga katika nafasi nzuri ya kuelekea kutwaa Ubingwa na atahakikisha wanajitahidi kushinda kila mchezo ili kujiweka katika mazingia mazuri ya kutwaa Ubingwa wa Ligi Kuu ya Vodacom.
Kikosi cha  wachezaji 26 na benchi la ufundi wote wameingia kambini katika Hoteli ya Tansoma mara baada ya mazoezi ya leo asubuhi na wachezaji wote ni wazima kiafya na kiakili hivyo hakuna mcheaji hata mmoja ambaye ni majeruhi.
CHANZO:www.youngafricans.co.tz/&Dinna  ismail

WAZIRI WA HABARI UTAMADUNI NA MICHEZO FENELLA MUKANGARA.

 
 Waziri wa habari vijana utamaduni na michezo Fenella Mukangara amefuta matumizi ya katiba mpya ya TFF ya mwaka 2012 kwa vile imekiuka kanuni na sheria za BMT hivyo TFF wanatakiwa kutukia katiba ya mwaka 2006 ambayo imetumika katika mikoa kufanyia uchaguzi.

 Mukangara amesema TFF inatakiwa kufuata kanuni nasheria za BMT ambazo ambazo ndizo zenye maelekezo ya kufanya marekebisho ya katiba .

 Hakuna chama chochote hapa nchini kilicho juu ya BMT yaani baraza la michezo nchini ,hivyo TFF wanatakiwa kufanya mkutano mkuu kwa kutumia katiba ya mwaka 2006 na FIFA wanatakiwa kuelezwa mambo yalivyo pindi watakapokuwa hapa.

 Pia waziri amesema anamuondoa kazi msajili aliyepitisha katiba ya TFF kwani hajafuata kanunu na sheria na kumuweka mwingi pamoja na kuhamisha ofisi ya msajili

   KUELEKEA DABY YA  LONDON KASKAZIN

Beki wa washika bunduki wa london Arsenal Per Mertesacker amesema kiungo wa timu hiyo says Santi Cazorla ni mtandaza soka hasa na hii ni baada ya muhispania huyo kutupia nyavuni mara mbili katika ushindi walioupata jumamosi iliyopita wa magoli 2-1 dhidi ya Aston Villa.

 

Cazorla alikuwa katika kiwango chake kwa mara nyingine tena na jumamosi hii Gunners watakuwa ugenini katika dimba la White Hart Lane kuwakabili wenyeji wao spurs katika ile derby ya london ya kaskazin na Mertesacker anamatumaini na kiungo wake huyo kuendelea kufanya vizuri..
------------------------

WILSHARE;BADO TUNAWEZA

Tukiendelea kusalia London kunako vijana wa ARSHBATON,Kiungo  Jack Wilshere amewataka wechezaji wenzake kuendelea kufanya vyema na kuhakikisha hawashuki kiwango kwani msimu bado haujafika mwisho wanayo nafasi ya kufanya vyema na kuwapiku wapinzani wao katika ligi na hata kukamata nafasi mbili za juu....

Katika upande wa klabu bingwa barani ulaya,Arsenal inaonekana kuwa na nafasi finyu ya kusonga mbele  baada ya kukubali kichapo cha goli 3-1 toka kwa Bayern Munich katika uwanja wa nyumbani na mwezi ujao Arsenal itasafiri mpaka Munich katika dimba la Arena kuikabili Bayern.
-------------------------------------------------
BALE;SPURS ZAIDI

Wakati huo huo kutoka london ya kaskazini,Gareth Bale anaamini kwa sasa Tottenham iko vizuri (ni bora) zaidi ya  Arsenal katika kuwania nafasi nne za juu ambazo zinakuwezesha kucheza Champions League.

HABARI FUPI FUPI NA HARAKATI ZA USAJILI

Klabu ya Newcastle inamtaka winga mfaransa Hatem Ben Arfa kusaini mkataba mpya na kuendelea kusalia St James' Park,na hii ni baada ya Liverpool kuanza kumtolea macho kijana huyo mwenye miaka 25.

---------------------------------
Meneja wa majogoo wa jiji Liverpool Brendan Rodgers alifunga safari mpaka Holland kumshuhudia nahodha wa Feyenoord anaecheza beki ya kati Stefan De Vrij(21 yrs),katika mchezo wa ligi ya uholanzi iliyopigwa jumapili ambapo Feyenoord iliibuka na ushindi wa 2-1 mbele ya PSV Eindhoven. Rodgers amekuwa akisaka beki kwaajili kuziba nafasi ya Jamie Carragher ambae amestaafu soka.
----------------------------------
Kiungo wa Southampton Gaston Ramirez, 22yrs,anawindwa na vilabu vinavyoshiriki ligi kuu ya Italia seria A,vinara Juventus,Inter Milan na Fiorentina.
----------------------------------
Boss wa West Ham Sam Allardyce huwenda akamuongeza katika kikosi chake beki wa zamani wa Bolton Ricardo Gardner.mchezaji huyo wa kimataifa toka Jamaica ,34yrs,kwa sasa ni mchezaji huru baada ya kuondoka Reebok Stadium akiwa mchezaji huru msimu uliopita.
-----------------------------------
Mshambuliaji wa mashetani wekundu Manchester United Robin van Persie atakuwa fit kuikabili Real Madrid wiki ijayo katika klabu bingwa barani ulaya baada ya kuumia katika mchezo dhidi ya Queens Park Rangers.

 

lakini taarifa iliyopo nikwamba Van Persie ataukosa mchezo wa jumamosi katika dimba la nyumbani Old Trafford watakapo wakaribisha nyumbani Norwich City.
-----------------------------------
Meneja wa Celtic Neil Lennon ameitaka klabu yake kumpatia kandarasi mpya kiungo wa timu hiyo mwenye umri wa miaka 26 Joe Ledley.
------------------------------------
AND FINALLY

Klabu toka Italia Palermo imemfukuza kazi manager wao Alberto Malesani baada ya wiki tatu tu katika kazi yake,nafasi yake amepewa Gian Piero Gasperini - the man Malesani replaced.

 Full story: La Gazzetta dello Sport 

Mario Balotelli: AENDELEA KUBAGULIWA ITALIA

Italian media reports suggest AC Milan's Mario Balotelli was the target of racial abuse from fans of ex-club Inter Milan in Sunday's derby.

Balotelli, 22,alishachezea Inter kabla ya kusaini Manchester City na mwezi wa kwanza mwaka huu 2013 katika dirisha la usajili alihamia AC Milan.

Gazeti linaloandika habari za michezo Italia,Gazzetta dello Sport  ni moja ya chombo cha habari kilichoripoti ubaguzi huo kwa kutupiwa ndizi na mashabiki wa Inter katika mchezo uliopigwa jumapili na kulazimishana sare ya1-1 katika dimba la San Siro.

 

Balotelli also put his finger to his lips in an apparently defiant gesture.

Chama cha soka inchini Italia kimesema kamati ya nidhamu ya Serie A(Serie A disciplinary council) itakuwa na mkutano huko Milan kesho jumanne.....

Mapema mwezi huu,Inter walipigwa faini ya 15,000 yuro(sawa na paund 12,900) baada ya kuwa na vitendo vya kibaguzi kwa baadhi ya mashabiki juu ya Balotelli katika mchezo dhidi Chievo.

Makamo wa raisi wa AC Milan Paolo Berlusconi,kaka wa raisi wa klabu ya San Siro Silvio,nae alitumia lugha ya kibaguzi wakati akimuelezea  Balotelli.

ARSENE WENGER ;ARSENAL INAWEZA KUMALIZA NAFASI YA PILI KATIKA LEAGUE

Meneja wa washika bunduki wa london Arsenal,mzee Arsene Wenger amesema vijana wake wanaweza kukamata nafasi ya pili katika ligi kuu ya soka inchini uingereza na nijambo linalowezekana kwa Gunners...

Siku chache zilizopita Wenger ameishuhudia Arsenal ikibwagwa nje ya michuano ya FA baada ya kupata kichapo cha bao 1-0 toka kwa vijana wanaoshiriki ligi daraja la kwanza Blackburn na kufuatia kipigo katika dimba la nyumbani Emarete toka kwa  Bayern Munich katika hatua ya 16 bora ya klabu bingwa barani ulaya.

MBIO ZA KUWANIA NAFASI YA PILI!!!!!


Licha ya kuwa nyuma kwa poiti 9 mbele ya timu ya Manchester City ambao mpaka sasa wanaendelea kukamata nafasi ya pili katika ligi na ikiwa imesalia michezo 11 kumalizika kwa msimu bado mzee wa kifaransa anamatumaini ya kuleta ushindani katika nafasi hiyo.

"Man City is not out of reach. It could be a tight fight until the end," said the Arsenal boss.

wiki iliyopita Arsenal walipata ushindi wao wa tatu mfululizo katika ligi baada ya ushindi wa jumamosi 2-1 dhidi ya Aston Villa ikiwa ni muendelezo toka kwa Sunderland na Stoke.

Bado Arsenal inaendelea kukamata nafasi ya tano katika msimamo wa ligi kuu soka inchini uingereza wakiwa nyuma ya City, Chelsea na Tottenham ambao siku ya jumapili ya tareh 3 kutakuwa na north London derby katika dimba la White Hart Lane watakapokutana nao.

Manchester United, who Arsenal still have to play at Emirates Stadium on 28 April, are 21 points clear of the Gunners at the top of the table.

Wenger insists his team can not only overtake Tottenham and Chelsea, but also overhaul City and qualify automatically for a place in next season's Champions League group stage.


Arsenal haijawahi kumaliza nje ya top four katika Premier League tangu Wenger alipochukua majukumu mwezi September 1996.

Mara ya mwisho kwa Gunners kumaliza ligi ikiwa nafasi mbili za juu ni katika msimu wa mwaka 2004-05 when they were runners-up to Chelsea.

Race for second - key games

Man City Chelsea Spurs Arsenal
Everton (A) 16 March
Spurs (H) 14 April
Arsenal (H) 3 March
Spurs (A) 3 March
Man Utd (A) 8 April
Liverpool (A) 21 April
Chelsea (A) 14 April
Everton (H) 9 March
Spurs (A) 21 April
Man Utd (A) 4 May
Man City (H) 21 April
Man Utd (H) 28 April