TRANSLATE THIS BLOG

Monday, January 7, 2013

Saunders;Kocha mpya Wolves

Klabu ya Wolves imethibitisha kwamba  Dean Saunders ndie meneja mpya wa timu hiyo hii nikufuatia kutimuliwa kwa aliekuwa kocha wa Wolves Stale Solbakken kutimuliwa siku ya jumamosi.

Dean Saunders Doncaster Rovers

Saunders, 48, ameiwezesha  Doncaster Rovers kusalia nafasi ya pili katika  League One msimu huu na alianza kazi ya kuwa meneja akiwa na timu ya Wrexham.

 Taarifa kutoka ndani ya klabu kupitia tovuti yao imesema: "Wolves  wanapenda kuwafahamisha kwamba Dean Saunders ndie atakuwa meneja mpya . Doncaster Rovers wamekubali kumuachia kocha huyo mwenye umri wa miaka 48 kuelekea  Molineux kufuatiwa kutimuliwa kwa aliyekuwa mwalimu wa timu hiyo Stale Solbakken siku ya jumamosi."

 Saunders ni boss wa nne wa  Wolves katika kipindi kisichopungua mwaka mmoja hii ni baada ya mwezi wa pili kutimuliwa kwa Mick McCarthy na kufuatiwa na and the Terry Connor.

No comments:

Post a Comment