TRANSLATE THIS BLOG

Thursday, March 14, 2013

BRAZIL YAPUMULIA MASHINE VIWANGO VYA UBORA WA SOKA,MALI YAIPUMULIA
MBAVUNI(Fifa rankings)
 
Mabingwa wa kihistoria wa dunia mara tano(5) wameendelea kuburuzwa na
kuporomoka katika ubora wa soka duniani na hii ni kwa mujibu wa
viwango vya ubora wa kutandaza soka duniani vilivyotolewa leo
alhamisi na shirikisho la soka duniani FIFA,ikiwa chini ya Ecuador,
Switzerland na Greece and kupishana na Mali toka Africa kwa nafasi
sita bingwa huyo kufikiwa.
 
Brazili ndio wenyeji wa fainali zijazo za kombe la dunia zitakazo
fanyika 2014,kwa sasa katika msimamo wa ubora wa soka inakamata
nafasi ya 18 wakati Mali ambao hawajawahi kucheza  World
Cup,wanakamata nafasi ya 24 baada ya kupanda nafasi moja zaidi.
 
Timu zote kumi(10)kutoka Aamerika ya kusini bado zimesalia katika 50
bora,na timu ya mwisho kutoka barani humo ni Venezuela iliyoshika
nafasi ya 43.
 
Brazil are not involved in the World Cup qualifiers and have
plummeted down the rankings as friendlies earn fewer points than
competitive games in the completed rankings calculations.
Afghanistan, languishing near the foot of the table until last month,
leapt 48 places thanks to wins over Laos and Sri Lanka, leaving them
141st out of 209 teams.
 
Japan ndio timu iliyokuwa juu kuliko zote toka barani Asia katika
viwango hivi vilivyotolewa leo vya ubora wasoka duniani na fifa baada
ya kukamata nafasi ya  26,kutoka Afrika Ivory Coast wameendelea 
kufanya vizuri kwa kukamata nafasi ya 13na ndio vinara kutoka
Afrika,Mexico yenyewe inakamata nafasi ya 15 na kuwa juu kwa ukanda
wa CONCACAF.
 
Hakuna mabadiliko kwa viongozi,mabingwa Dunia na ulaya Spain
wameendelea kushika usukani ikifuatiwa na Germany, Argentina, England
na Italy.
KUMI BORA
1.Spain
2.Germany
3.Argentina
4.England
5.Italy
6.Colombia
7.Portugal
8.Netherlands
9.Croatia
10.Russia
11.Ecuador
12.Greece
13.Côte d'Ivoire
14.Switzerland
15.Mexico
16.Uruguay
17.France
18.Brazil
19.Belgium
20.Ghan
Mabingwa wa Afrika kwa mwaka huu Nigeria wamekamata nafasi ya 30
Nigeria,kutoka Afrika Mashariki Uganda imeendele kufanya vyema katika
ukanda huu kwa kushika nafasi ya 85 ikifuatiwa na Tanzania na Kenya
wakikamata 126.