TRANSLATE THIS BLOG

Sunday, October 26, 2014

Robert Pires: kukosa mechi mbili za ligi

kiungo wa zamani wa  Arsenal Robert Pires amefungiwa kutocheza michezo miwili ya Indian Super League after an alleged altercation with an opposing coach.
Pires miaka 40, kwa sasa anachezea  FC Goa,awali alisema alipigwa na kocha wa Atletico de Kolkata  Antonio Lopez Habas wakati timu zinakwenda mapumziko katika mechi ya Alhamis ya wiki iliyopita.
                                                          pires enzi akiwa Arsenal na mzee wenga
Habas amefungiwa mechi nne na shirikisho la soka huko india( All India Football Federation (AIFF), na wawili hao kupigwa faini kila mmoja ya 500,000 (£5,085).
Pires na Habas wamepewa siku nne kuwasilisha pingamizi zao(kukata rufaa).

No comments:

Post a Comment