TRANSLATE THIS BLOG

Monday, February 25, 2013

Mario Balotelli: AENDELEA KUBAGULIWA ITALIA

Italian media reports suggest AC Milan's Mario Balotelli was the target of racial abuse from fans of ex-club Inter Milan in Sunday's derby.

Balotelli, 22,alishachezea Inter kabla ya kusaini Manchester City na mwezi wa kwanza mwaka huu 2013 katika dirisha la usajili alihamia AC Milan.

Gazeti linaloandika habari za michezo Italia,Gazzetta dello Sport  ni moja ya chombo cha habari kilichoripoti ubaguzi huo kwa kutupiwa ndizi na mashabiki wa Inter katika mchezo uliopigwa jumapili na kulazimishana sare ya1-1 katika dimba la San Siro.

 

Balotelli also put his finger to his lips in an apparently defiant gesture.

Chama cha soka inchini Italia kimesema kamati ya nidhamu ya Serie A(Serie A disciplinary council) itakuwa na mkutano huko Milan kesho jumanne.....

Mapema mwezi huu,Inter walipigwa faini ya 15,000 yuro(sawa na paund 12,900) baada ya kuwa na vitendo vya kibaguzi kwa baadhi ya mashabiki juu ya Balotelli katika mchezo dhidi Chievo.

Makamo wa raisi wa AC Milan Paolo Berlusconi,kaka wa raisi wa klabu ya San Siro Silvio,nae alitumia lugha ya kibaguzi wakati akimuelezea  Balotelli.

No comments:

Post a Comment