TRANSLATE THIS BLOG

Monday, February 25, 2013

ARSENE WENGER ;ARSENAL INAWEZA KUMALIZA NAFASI YA PILI KATIKA LEAGUE

Meneja wa washika bunduki wa london Arsenal,mzee Arsene Wenger amesema vijana wake wanaweza kukamata nafasi ya pili katika ligi kuu ya soka inchini uingereza na nijambo linalowezekana kwa Gunners...

Siku chache zilizopita Wenger ameishuhudia Arsenal ikibwagwa nje ya michuano ya FA baada ya kupata kichapo cha bao 1-0 toka kwa vijana wanaoshiriki ligi daraja la kwanza Blackburn na kufuatia kipigo katika dimba la nyumbani Emarete toka kwa  Bayern Munich katika hatua ya 16 bora ya klabu bingwa barani ulaya.

MBIO ZA KUWANIA NAFASI YA PILI!!!!!


Licha ya kuwa nyuma kwa poiti 9 mbele ya timu ya Manchester City ambao mpaka sasa wanaendelea kukamata nafasi ya pili katika ligi na ikiwa imesalia michezo 11 kumalizika kwa msimu bado mzee wa kifaransa anamatumaini ya kuleta ushindani katika nafasi hiyo.

"Man City is not out of reach. It could be a tight fight until the end," said the Arsenal boss.

wiki iliyopita Arsenal walipata ushindi wao wa tatu mfululizo katika ligi baada ya ushindi wa jumamosi 2-1 dhidi ya Aston Villa ikiwa ni muendelezo toka kwa Sunderland na Stoke.

Bado Arsenal inaendelea kukamata nafasi ya tano katika msimamo wa ligi kuu soka inchini uingereza wakiwa nyuma ya City, Chelsea na Tottenham ambao siku ya jumapili ya tareh 3 kutakuwa na north London derby katika dimba la White Hart Lane watakapokutana nao.

Manchester United, who Arsenal still have to play at Emirates Stadium on 28 April, are 21 points clear of the Gunners at the top of the table.

Wenger insists his team can not only overtake Tottenham and Chelsea, but also overhaul City and qualify automatically for a place in next season's Champions League group stage.


Arsenal haijawahi kumaliza nje ya top four katika Premier League tangu Wenger alipochukua majukumu mwezi September 1996.

Mara ya mwisho kwa Gunners kumaliza ligi ikiwa nafasi mbili za juu ni katika msimu wa mwaka 2004-05 when they were runners-up to Chelsea.

Race for second - key games

Man City Chelsea Spurs Arsenal
Everton (A) 16 March
Spurs (H) 14 April
Arsenal (H) 3 March
Spurs (A) 3 March
Man Utd (A) 8 April
Liverpool (A) 21 April
Chelsea (A) 14 April
Everton (H) 9 March
Spurs (A) 21 April
Man Utd (A) 4 May
Man City (H) 21 April
Man Utd (H) 28 April

 
 
 
 
 
 

No comments:

Post a Comment