TRANSLATE THIS BLOG

Monday, July 22, 2013

Scotland teyari kuivaa Uingereza

 
 Meneja wa timu ya taifa ya Scotland GORDON STRACHAN ametangaza kikosi kazi tayari kuivaa three lion(Timu ya taifa ya Uingereza) katika mechi ya kimataifa ya kirafiki itakayopigwa Wembley tarehe14 August ikiwa ni maandalizi  ya mechi yao ya  kuwania kufuzu  World Cup nyumbani dhidi ya  Belgium mwezi September. 

katika ushindi waliopata Scotland dhidi ya Croatia katika kuwania kufuzu fainali hizo mwezi june wameshuka katika viwango vya ubora wa soka kutoka nafasi ya 24 mpka nafasi ya50

Scotland squad:
Goalkeepers: Matt Gilks (Blackpool) David Marshall (Cardiff City) Allan McGregor (Hull City)
Defenders: Gordon Greer (Brighton and Hove Albion) Steven Hammell (Motherwell) Grant Hanley (Blackburn Rovers) Alan Hutton (Aston Villa) Russell Martin (Norwich City) Charlie Mulgrew (Celtic) Andy Webster (Unattached) Steven Whittaker (Norwich City) 


Midfielders: Charlie Adam (Stoke City) Barry Bannan (Aston Villa) George Boyd (Hull City) Liam Bridcutt (Brighton and Hove Albion) Chris Burke (Birmingham City) Scott Brown (Celtic) Craig Conway (Cardiff City) Graham Dorrans (West Bromwich Albion) James Forrest (Celtic) Gary Mackay-Steven (Dundee United) Shaun Maloney (Wigan Athletic) James McArthur (Wigan Athletic) James Morrison (West Bromwich Albion) Robert Snodgrass (Norwich City) 

Forwards: Leigh Griffiths (Wolverhampton Wanderers) Steven Naismith (Everton) Kenny Miller (Vancouver Whitecaps) Jordan Rhodes (Blackburn Rovers)

No comments:

Post a Comment