TRANSLATE THIS BLOG

Monday, July 22, 2013

United ofa nyingine kwa Cesc


Manchester United manager David Moyes jumatatu ya leo amefunguka na kusema kwamba,mabingwa hao wa ligi kuu ya soka uingereza  had made a second offer kwa kiungo wa Barcelona Cesc Fabregas.
Awali United iliripotiwa kuwa  walimtengea mhispania huyo dau la £25 million,ambalo lilikataliwa kwaajili wa nahodha huyo wa zamani wa  Arsenal .
Moyes said United made a second bid and were working hard to bring the Spanish international back to England.

Moyes akizungumza mbele ya  press conference katika ziara ya United huko Japan amesema kwamba  Ed Woodward, mwenyekiti wa klabu, had received a response from Barcelona
Hata hivyo moyes amesema kwamba Woodward amejaribu  kufanya usajiliwa kwa baadhi ya wachezaji wapya kabla ya kuanza kwa msimu...

No comments:

Post a Comment