United ofa nyingine kwa Cesc
Manchester United manager David Moyes jumatatu ya leo amefunguka na kusema kwamba,mabingwa hao wa ligi kuu ya soka uingereza had made a second offer kwa kiungo wa Barcelona Cesc
Fabregas.
Awali United iliripotiwa kuwa walimtengea mhispania huyo dau la £25 million,ambalo lilikataliwa kwaajili wa nahodha huyo wa zamani wa Arsenal .
Moyes said United made a second bid and were working hard to bring the Spanish international back to England.
Moyes akizungumza mbele ya press conference katika ziara ya United huko Japan amesema kwamba Ed
Woodward, mwenyekiti wa klabu, had received a response
from Barcelona
Hata hivyo moyes amesema kwamba Woodward amejaribu kufanya usajiliwa kwa baadhi ya wachezaji wapya kabla ya kuanza kwa msimu...
No comments:
Post a Comment