*TAIFA STARS YAWASILI NCHINI KUTOKA BOTSWANA LEO-HOI!!!!!!!!!!!
Wachezaji wa Timu ya Taifa, Taifa Stars wakiwasili Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere leo wakitokea Gaborone Botswana, ambapo walicheza mechi ya kirafiki na The Zebras na kutoka sare ya kufungana mabao 3-3.
No comments:
Post a Comment