
TETESI ZA UHAMISHO(Usajili)LEO JUMANNE...
Majogoo wa jiji Liverpool will tell Andy Carroll, 23, kuamua mustakabali wake wa baadae mwishoni mwa week......
Daniele De Rossi, 29,ambaye anawindwa na Manchester city is set to stay with Roma na kiungo huyo ameitisha kikao leo jumanne na wahandishi wa habari kwaajili ya kutoa uwamuzi
Queens Park Rangers wanamtaka beki wa Tottenham Michael Dawson, 28.
huwenda kiungo Tom Huddlestone, 25, akaondoka kwa mkopo White Hart Lane baada ya Stoke kuonyesha nia ya kutaka kumsajili.
Tottenham haina nia ya kumsajili mshambuliaji wa Arsenal 28-year-old Marouane Chamakh.
But they are planning to move for Roma midfielder Miralem Pjanic, 22, before the transfer window closes.
Spurs are also considering a move for 26-year-old Edin Dzeko, with no breakthrough in their attempts to sign Dzeko's fellow Manchester City striker Emmanuel Adebayor.
But 28-year-old Adebayor hopes to complete his £5m move from City to Tottenham later this week.
klabu ya Fulham ipo kwenyemazungumzo na Striker wa zamani wa Arsenal Eduardo 29-year-old wa kitita cha £7 m kuja kuwa mbadala wa forward wa kimataifa wa marekani Dempsey ambae mapema wiki hii alikataa kuichezea timu hiyo.
Zenit St Petersburg wametuma fresh approach yakumsajili permanently Andrey Arshavin, Arsenal wanataka kiasi cha £10m kwaajili ya 31-year-old forward.
No comments:
Post a Comment