TRANSLATE THIS BLOG

Monday, August 20, 2012


Zoezi la kumchagua rais wa Somalia ambalo lilitarajiwa kufanyika leo hii (20.08.2012) limeshindikana kutokana kuwepo kwa mzozo katika zoezi la kuchagua wabunge 275 taifa hilo.
Miongoni mwa wagombea wanaopewa nafasi kubwa kushinda, ni rais wa sasa wa serikali ya mpito, Sheikh Sharif Sheikh Ahmed, Waziri Mkuu Abdiweli Mohamed Ali na Spika anayemaliza muda wake, Sharif Hassan Sheikh Adan. Sudi Mnette alizungumza moja kwa moja kutoka Somalia na mwenzetu Hussein Awes na kwanza alimuuliza Rais wa Somalia atapatikana kama ilivyopangwa?

No comments:

Post a Comment