Zeman: De Rossi atabaki
mocha wa klabu ya AS Roma Zdenek Zeman Anaamini kwamba mchezaji wake Daniele De Rossi ataendelea kubakia Stadio Olimpico msimu hue baada ya kuwa na uvumi uliozuka weekend hii kwamba mabingwa wa liege kuu ya soka inchini uingereza Manchester City wanataka kufanya usajili wake.
No comments:
Post a Comment