TRANSLATE THIS BLOG

Wednesday, November 14, 2012


Japan wakaribia kufuzu kombe la Dunia 

November 14, 2012
By mwambao fm  staff

Japan wameshinda  2-1 dhidi ya  Oman na kuwafanya wawe katika nafasi nzuri ya kufuzu kucheza world cup 2014 huko brazil 


Keisuke Honda in action for Japan against Oman


Shinji Okazaki alikuwa shujaa wa Japan katika dakika za majeruhi baada  Ahmed Mubarak's deflected free-kick cancelled out Hiroshi Kiyotake's first-half opener.

Japan, hawakushiriki kombe la dunia tangu mwaka 1998, sasa wana 13 points katika michezo 5 na wakiwa pointi 8 zaidi ya yule anaekamata nafasi ya pili Australia having played one more game.

Jordan wamepokea kichapo  1-0  toka kwa  Iraq  huko  Doha. Hammadi Ahmed alifunga goli katika dk ya  86t grab and move Iraq level with theSocceroos.



No comments:

Post a Comment