KAMPUNI YA Darworld Links imeandaa mpambano mwingine wa ubingwa wa masumbwi utakaowakutanisha bondia Nassibu Ramadhani na Fransic Miyayusho, mpambano huo utakaofanyika katika Ukumbi wa PTA Sabasaba,
Aakizungumza na waandishi wa habari, Mkurugenzi wa Kampuni hiyo Mohamed Bawazir,amesema kuwa amewakutanisha mabondia hao kutaka kujua nani zaidi ya mwenzake kwa kuwa viwango vyao vina fanana na vinatambulika kimataifa hivyo amewataka watanzania kujitokeza kuwapa sapoti hususani kudhamini wa mchezo huo wa masumbwi.
Udhamini tunapoomba sehemu ya makampuni mbalimbali ukienda wanasema atuhusiki na mchezo huo,Wengine wanasema kabisa wadhamini wa michezo wakati wanabagua michezo mingine kama ngumi awapewi kipaumbele kabisaa
amewaomba wapenzi na mashabiki kujitokeza siku ta 9 Desemba kuja kuangalia ngumi ili zisonge mbele watakaosindikiza mpambano huo wa masumbwi ni Fadhili Majia VS Juma Fundi Moh'd Rashid Matumla VS Doi Miyayusho Ibrahimu Class 'King Class Mawe' VS Said Mundi wa Tanga
Fred Sayuni VS Deo Samweli Hassani Kidebe VS Baina Mazola
Mapambano yote ya utangulizi ni mazuri na vijana wanaotakiwa kuendelezwa katika elimu ya masumbwi Duniani ili wawe mabondia wazuri.
|
TRANSLATE THIS BLOG
Wednesday, November 14, 2012
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment