TRANSLATE THIS BLOG

Monday, October 15, 2012


                   COLY;Senegal watakubali adhabu.


Meneja wa timu ya taifa ya Senegal Ferdinand Coly amesema wanatarajia kuwa katika kipindi kigumu mbeleni, baada ya vurugu zilizo sababishwa na mashabiki wa soka wa nchi yao kiasi kupelekea mchezo wa kuwania kufuzu fainali za maraifa ya Afrika dhidi ya Ivory Coast  kuvunjika jumamosi.

Vurugu hizo zilitokea wakati ambapoa Ivory Coast ikiongoza kwa mabao 2-0 ambayo yalikuwa ni matokeo ya jumla ya mabao 6-2.

Amenukuliwa Coly akisema
"tunaelekea katika wakati mgumu lakini Senegal itakubaliana na adhabu".

"kwa wachezaji imewaumiza sana hususani wachezaji wachanga"
Mashabiki wa Senegal walianza kuwasha moto majukwaani na kutupa vitu uwanjani zikiwa zimesalia dakika 15 mchezo huo kumalizika mjini Dakar, muda mfupi baada ya mshambuliaji wa zamani wa Chelsea Didier Drogba kukandamiza bao la pili kwa njia ya penati.

                                          kwa ufupi

Ferdinand Alexandre Coly (born 10 September 1973 in Dakar) is a Senegalese former footballer.
Coly moved to France when he was 7 years old.He played in all of Senegal's matches in the 2002 FIFA World Cup. After impressing at the tournament, he moved from RC Lens to Birmingham City on loan. But this proved to be a poor career move as he only managed a single Premiership appearance, against Arsenal. Coly then moved on to Perugia. In his first season with theItalian club (2003–04), he made 11 appearances but never really impressed. He spent 2004-05 in Serie C (the team descended via playoffs to Serie B then suffered "another relegation", this time in the courts), making 29 appearances and scoring twice. In the summer of 2005 he made a move to Serie A side Parma, where he has been a regular...........

No comments:

Post a Comment