TRANSLATE THIS BLOG

Monday, October 8, 2012


MECHI za KIMATAIFA: Kurindima kuanzia Ijumaa!!


Ijumaa Oktoba 16, Mechi za Kimataifa zitaanza kuchezwa na Barani Ulaya, Marekani ya Kusini na kwingineko ni Mechi za Mchujo kuwania kufuzu kucheza Fainali za Kombe la Dunia za Mwaka 2014 huko Brazil lakini kwa Afrika, hapo Jumamosi na Jumapili, kutakuwa na Mechi za marudiano za Raundi ya Mwisho ya Mchujo kupata Timu 15 zitakazoungana na Wenyeji Afrika Kusini kucheza Fainali za AFCON 2013, Kombe la Mataifa ya Afrika, Januari 2013.

RATIBA MECHI ZOTE:

ULAYA-Mechi za Makundi Kombe la Dunia 2014

[Saa za Bongo]

Ijumaa Oktoba 12

1800 Russia v Portugal

1830 Finland v Georgia

1900 Armenia v Italy

1900 Faroe Islands v Sweden

1900 Kazakhstan v Austria

2000 Albania v Iceland

2000 Czech Republic v Malta

2030 Liechtenstein v Lithuania

2030 Turkey v Romania

2100 Belarus v Spain

2100 Bulgaria v Denmark

2100 Moldova v Ukraine

2115 Slovakia v Latvia

2130 Estonia v Hungary

2130 Netherlands v Andorra

2130 Serbia v Belgium

2145 Greece v Bosnia-Hercegovina

2145 Rep of Ireland v Germany

2145 Wales v Scotland

2200 England v San Marino

2200 Luxembourg v Israel

2230 Macedonia v Croatia

2230 Switzerland v Norway

2245 Slovenia v Cyprus

Jumanne Oktoba 16

Albania v Slovenia

Andorra v Estonia

Belarus v Georgia

Belgium v Scotland

Bosnia-Hercegovina v Lithuania

Czech Republic v Bulgaria

Hungary v Turkey

Iceland v Switzerland

Israel v Luxembourg

Latvia v Liechtenstein

Macedonia v Serbia

Portugal v Northern Ireland

Romania v Netherlands

Russia v Azerbaijan

San Marino v Moldova

Slovakia v Greece

Spain v France

Ukraine v Montenegro

2000 Cyprus v Norway

2100 Faroe Islands v Rep of Ireland

2130 Austria v Kazakhstan

2130 Croatia v Wales

2145 Germany v Sweden

2145 Italy v Denmark

2200 Poland v England

FAHAMU:
-ULAYA yapo Makundi 9

-Washindi 9 wa kila Kundi wataingia Fainali moja kwa moja na Washindi wa Pili 8 bora wenye rekodi nzuri dhidi ya Timu zilizomaliza nafasi za Kwanza, Tatu, Nne na Tano kwenye Kundi lao watapelekwa kwenye Droo kupanga Mechi 4 za Mchujo, zitakazochezwa nyumbani na ugenini, ili kupata Timu nne zitakazoingia Fainali.

--------------------------------------------------------------

AFCON 2013=Kombe la Mataifa ya Afrika

[Fainali Afrika Kusini-Januari 2013]

[Kwenye Mabano Matokeo Mechi za kwanza]

Jumamosi Oktoba 13

Malawi v Ghana [0-2]

Botswana v Mali [0-3]

Nigeria v Liberia [2-2]

Uganda v Zambia [0-1]

E.Guinea v Congo DR [0-4]

Senegal v Cote d'Ivoire [2-4]

Tunisia v Sierra Leone [2-2]

Morocco v Mozambique [0-2]

Jumapili Oktoba 14

Algeria v Libya [1-0]

Cameroon v Cape Verde [0-2]

Togo v Gabon [1-1]

Angola v Zimbabwe [1-3]

Niger v Guinea [0-1]

Ethiopia v Sudan [3-5]

Burkina Faso v Central African Republic [0-1]

FAHAMU: Washindi 15 wa Mechi hizi watajumuika na Wenyeji Afrika Kusini kwenye Fainali zitakazochezwa Afrika Kusini Januari 2013.

++++++++++++++++++++++++++++++

MAREKANI ya KUSINI-Mechi za Makundi Kombe la Dunia 2014

MSIMAMO:

1 Argentina Mechi 7 Pointi 14

5 Colombia Mechi 7 Pointi 13

3 Ecuador Mechi 7 Pointi 13

4 Uruguay Mechi 7 Pointi 12

2 Chile Mechi 7 Pointi 12

6 Venezuela Mechi 8 Pointi 11

7 Peru Mechi 7 Pointi 7

8 Bolivia Mechi 7 Pointi 4

9 Paraguay Mechi 7 Pointi 4

FAHAMU: Timu 4 za juu zinatinga Fainali Brazil moja kwa moja na ile ya 5 itaenda Mechi ya Mchujo.

Ijumaa Oktoba 12

Colombia v Paraguay

Ecuador v Chile

Bolivia v Peru

Argentina v Uruguay

Jumanne Oktoba 16

Bolivia v Uruguay

Venezuela v Ecuador

Paraguay v Peru

Chile v Argentina


CONCACAF [Nchi za Marekani ya Kati, Kaskazini na Carribean]- Mechi za Makundi Kombe la Dunia 2014==RAUNDI ya 3


KUNDI A
-USA
-Guatemala
-Jamaica
-Antigua and Barbuda

KUNDI B
-Mexico
-El Salvador
-Costa Rica
-Guyana

KUNDI C
-Panama
-Honduras
-Canada
-Cuba

FAHAMU:

-Mshindi wa kila Kundi na Mshindi wa Pili wataingia Raundi ya 4 ambayo ni ya mwisho itayochezwa kwa mtindo wa Ligi ili kutoa Timu 3 zitakazoenda Fainali za Kombe la Dunia moja kwa moja na ya 4 itapelekwa Mechi ya Mchujo.

-Kundi B: Mexico wamefuzu kuingia Raundi ya 4 kwa vile tayari wana Pointi 12 wakifuatiwa na El Salvador wenye 5, Costa Rica 4 na Guyana 1 huku kila Timu imebakiza Mechi 2.


RATIBA:

Ijumaa Oktoba 12

Antigua and Barbuda v USA

El Salvador v Costa Rica

Canada v Cuba

Guatemala v Jamaica

Guyana v Mexico

Panama v Honduras

Jumanne Oktoba 16

Honduras v Canada

Cuba v Panama

USA v Guatemala

Jamaica v Antigua and Barbuda

Costa Rica v Guyana

Mexico v El Salvador

No comments:

Post a Comment