MBOYA CUP 2012.......UTATOA YAMBANIA MTU!!!!!
Timu ya soka ya utatoa leo imefanikiwa kutinga hatua ya makundi katika muendelezo wa ligi ya MBOYA CUP inayoendelea kutimua vumbi katika uwanja wa chera baada ya leo kuwasambaratisha Mako bao 5-4
(kikosi cha Utatoa Fc)
Magoli ya Utatoa yametiwa kimiani na mshambuliaji wao kuziwa ambae ameifungia timu yake magoli 3,na Amir Kai 2....na kwa upande wa Mako wafungaji ni Issa Amani magoli 3 na Hussein Tall goli 1
Kwa matokeo hayo Timu ya Utatoa imeungana na wenyeji Road Camp,YeboYebo,Makamuzi...katika hatua ya makundi...
(kikosi cha mako Fc)
Lgi hiyo itaendelea kutimua tena vumbi lake hapo kesho kwa mchezo mmoja kati ya KISHOKA vs FULL COMBAT
Taarifa kwa mujibu wa Mratibu wa Ligi
Rajab Salehe
No comments:
Post a Comment