TRANSLATE THIS BLOG

Monday, October 8, 2012


Stojkovic nje katika mechi ya kufuzu kombe la Dunia!!!!...

Mlinda mango wa Partizan Belgrade Vladimir Stojkovic atakosa mchezo wa kuwania kufuzu kucheza kombe la Dunia mwezi huu wakati timu yake ya Serbia itakapokuwa mawindoni baada ya  kuvunjika kikanyagio cha mguu  katika muendelezo wa ligi siku ya jumamosi….taarifa toka Serbian Football Association (FSS) .


katika taarifa iliyotolewa leo jumatatu katika tovut ya shirikisho la mpira wa miguu Serbia imesema "Golie wa Bruges,Bojan Jorgacevic ameitwa katika kikosi cha timu hiyo ya Taifa kuchukua nafasi ya Stojkovic 

Stojkovic alitolewa katika kipindi cha kwanza  katika mechi ambayo Partizan' waliibuka na ushindi wa 2-1  wakiwa nyumbani dhidi ya Javor Ivanjica  na kukimbizwa hospital huku kwa matokeo hayo Partizan  Wamekwea kileleni mwa msimamo wa ligi kuu ya soka ya Serbia.

Serbia, who top Group A on goal difference with four points from two games, entertain Belgium at Red Star's Marakana stadium on Friday before visiting neighbours Macedonia on October 16.

Udinese keeper Zeljko Brkic is favoured to stand in for Stojkovic, given that Jorgacevic's last competitive international was a 1-0 defeat to Slovenia in a Euro 2012 qualifier when he conceded a goal from the halfway line.

No comments:

Post a Comment