Zenit sign Hulk & Witsel for £64m
Baada ya muda mrefu wa tetesi wapi atatua Klabu Bingwa ya Urusi,
Zenit St Petersburg, imetangazakuwanasa kwa mpigo Straika wa Brazil
Hulk kutoka FC Porto na Kiungo wa Ubelgiji Axel Witsel kutoka Benfica.
Zenit St Petersburg, imetangazakuwanasa kwa mpigo Straika wa Brazil
Hulk kutoka FC Porto na Kiungo wa Ubelgiji Axel Witsel kutoka Benfica.
Wachezaji hao wawili tayari wameshaini Mikatabaya Miaka mitano kila mmoja..
Dili hizi za kuwanasa Wachezaji hao zilitangazwa rasmi kwenye Tovuti ya
Klabu hiyo na iliwapa hongera Mashabiki wake kwa habari hizo nzuri.
Hata hivyo, hadi sasa haikutajwa Wachezaji hao wamenunuliwa kwa Dau
lipi lakini inasemekana Wakala wa Hulk, Teodoro Fonseca, alitamka
kuwa Hulk amenunuliwa kwa Euro Milioni 60.
TAARIFA NILIOIPATA PUNDE NIKWAMBA HULK AMENUNULIWA KWA £32m
Hulk, mwenye Miaka 26 ambae alijiunga na FC Porto akitokea Ligi
ya JapanMwaka 2008, ameshatwaa Ubingwa wa Ureno mara 3
pamoja na Taji la EuropaLigi Mwaka 2011 na ameifungia Brazil goli 5
katika Mechi 14 alizocheza.
Nae Witsel, Miaka 23, inadaiwa amesajiliwa na Zenit kwa Dau la
EURO MIL 40,alijiunga na Benfica Julai 2011 akitokea Standard
Liege ambayo ilimuuza kwa Ada ya Euro Milioni 8.
katika upande wa michuano ya klabu bingwa ulaya zenet ipo kundi
moja na vilabu AC Milan and Anderlecht.
Kwa sasa ndio wanaoongoza msimamo wa ligi kuu ya soka Russian
league wakiwa teyari wameshajizolea 16 points katika michezo 7.
league wakiwa teyari wameshajizolea 16 points katika michezo 7.
No comments:
Post a Comment