Gerrard: Maamuzi ya Referee yametugarimu!!!!!
Steven Gerrard Amesema maamuzi yaliyofanywa na referee
Mark Halsey baina yao na Man utd nyumbani Anfield jana
jumapili katika muendelezo wa ligi kuu ya soka uingereza ,
ilikuwa ni sababu ya Liverpool kupokea kichapo cha
2-1 kutoka kwa Manchester United
Jonjo Shelvey alitolewa nje kwa kadi nyekundu baada ya kumchezea vibaya Jonny Evans, ... United walishinda mechi hiyo kwa goli la pili lililotiwa kimiani na Robin van Persie spot kick.
kipigo hicho kwa Liverpool kimewafanya kuendelea kusalia na two points katika mechi tano walizokwisha cheza....
No comments:
Post a Comment