Mourinho: I joined Real Madrid in order to challenge Barcelona
The former Inter boss Jose Mourinho amesema moja ya sababu ya yeye kujiunga na Real Madrid katika msimu wa 2010 ni kuleta ushindani kwa Barcelona .
mreno huyo inaimani kubwa kabisa kwamba ligi ya spain ni ligi kubwa kabisa duniani ,tunazungumzia Barcelona na Real Madrid,ambazo ni timu kubwa ambazo ndio vinara La LIGA na zinauwezo wa kuleta ushindani kwa timu yeyote ulimwenguni na hiyo ndio haswaa sababu iliyonipekea kujiunga Real Madrid. Na sio rahisi kushindana na Barcelona.ni ngumu sana kushinda katika kinyang’anyiro hichi.
"maisha ni rahisi mno ktika ligi nyingine,ligi yeyote ambayo hakuna Barcelona ni rahisi. Barca ni moja ya sababu iliifanya Madrid kuwa hapa ilipo’’……
No comments:
Post a Comment