Messi: usiniulize chochote kuhusiana na Ronaldo
nyota wa Barcelona amekataa kujibu swali lolote juu ya nyota wa kireno Ronaldo,ambae kwa sasa hafurahishi na mwenendo mzima unaoendelea RealMadrid.
Ronaldo aliina kudai hana furaha klabuni hapo baada ya kukataa kushangilia goli lake la 149 na la 150 dhidi ya Granada siku ya jumapili....
No comments:
Post a Comment