TRANSLATE THIS BLOG

Friday, September 7, 2012


BREAKING NEWS: Redknapp kocha mpya Bournemouth

Redknapp mwenye 65-year-old alikuwa hana timu baada ya kutimuliwa na timu ya london kaskazini ya Tottenham  msimu uliopita na sasa amerejea katika soka baada ya kupata  nafasi ya kuifundisha moja ya timu inayoshiriki League One side


EPL, Harry Redknapp, Bolton Wanderers v Tottenham Hotspur,

Getty

Bournemouth ni klabu yenye maskani yake  Goldsands Stadium ni timu Redknapp  kabla yakutua spurs alikwishawahi kuitumikia klabu hiyo kama mchezaji na kuwa  meneja katika kipindi cha nyuma.... 


mwenyekiti wa klabu Eddie Mitchell  told the club's official website.

“bado anamapenzi na klabu  na soka kwa ujumla

Redknapp aliitumikia kwa miaka minne klabu hiyo ya south coast side kama mchezaji na baadae kujiunga na West Ham mwaka 1972 na kucheza zaidi ya mechi 100 .

Harry alirejea kama manager mwaka  1983 na kuiletea mafanikio makubwa  Football League Trophy and promotion from the Third Division.

No comments:

Post a Comment