Sven joins Thai club
meneja wa zamani wa England Sven Goran Eriksson amerejea katika soka (football) baada ya kuteuliwa kuwa mkurugenzi wa ufundi(technical director) katika klabu ya BEC Tero Sasana inayoshiriki ligi kuu ya soka ya Thailand.
GettyImages
Sven Goran Eriksson is set for Thailand
Eriksson, 64, alikuwa hana kazi tangu alipotimuliwa kazi ya ukocha na Leicester City mwaka jana October 2011.
BEC Tero Sasana inashiriki Thai Premier League,na tayari inashikilia mataji mawili katika michuano miwili tofauti……
kocha hue wa zamani wa Ivory Coast atakuwa katika bench la klabu hiyo siku ya jumamosi wakati klabu yake itakapokwaana na Chainat .
Mswiden huyo pia alishawahi kuwa meneja wa klabu za Sampdoria, Lazio and Manchester City kwa kipindi tofauti tofauti.
No comments:
Post a Comment