Taylor nje msimu mzima
mlinzi wa Swansea City Neil Taylor atakuwa nje ya uwanja msimu mzima wa liege kuu ya soak uingereza baada ya kuvunjika ankle.
GettyImages
Swansea's Neil Taylor atakosa msimu mzima wa ligi
Taylor, 23, aliumia katika 20th ya mchezo walipokuwa wananaikabili Sunderland na yeye kukimbizwa hospital kwa matibabu zaikai….katika mechi hiyo ya jana timu hizi zilitoka sare ya kufungana bao 2-2
No comments:
Post a Comment