TRANSLATE THIS BLOG

Monday, September 10, 2012


            MIMI NDIO No. 1 WA SPURS

Mlinda mlango wa Tottenham mwenye umri wa miaka 41 anaamini yeye ataendelea kuwa namba 1 wa spurs licha ya kukabiliana na ushindani kutoka kwa goalkeeper  wa kifaransa  aliyesajiliwa toka  LyonBrad Friedel-Tottenham

Tottenham goalkeeper Brad Friedel marekani huyu ndie nambamoja kwa vijana hao wa landon ya kaskazini amemounya Hugo Lloris kwamba nilazima apigana ili achukuwe nafasi mlinda mlango No. 1  White Hart Lane.
siku ya mwisho ya dirisha la usajili kufungwa LLORIS ALIJIUNGA NA SPURS KWA ADA YA PAUNDI 15 million LAKINI MPAKA SASA BADO HAJAPATA NAFASI YA KUCHEZA KATIKA KLABU YAKE HIYO MPYA.....
And Friedel's inspired form in a recent 1-1 draw with Norwich City caused manager Andre Villas-Boas to declare that the veteran remained first choice, a position that the 41-year-old is unwilling to relinquish.

"Right now I believe the shirt is mine to lose, I believe the manager came out and said that. If that's the case then great," he told Sky Sports. 

No comments:

Post a Comment