Di Stefano: Pele Bora zaidi....
Legendary Real Madrid forward Alfredo Di Stefano anaamini kwamba mkongwe katika soka Pele alikuwa ni bora kuliko Lionel Messi Cristiano Ronaldo.
Di Stefano: Pele is better than Lionel Messi
Di Stefano kwa sasa anaumri wa miaka 86,amemsifia pele na kusema yeye alikuwa mkali kuliko ubora waliokuwa nao vijana hawa wa siku hizi japokuwa nao ni bora.
"amesema pele ni mchezaji bora ambae hakuna tena atakaetokea kama yeye .... Messi na Cristiano Ronaldo wote na bora lakini Pele alikuwa zaidi ," Di Stefano told El Colombiano.
Mu Argentine akaamua kuzungumzia tofauti za nyota hao wanaopatikana La Liga stars.
"Messi is the more technical player of the two. He's better inside the area, the way he handles the ball and dribbles. You can see that he enjoys himself playing," Di Stefano said.
"Cristiano has a better body and is physically very strong. He has pace, speed and is a player with courage, and he can use both feet."
Di Stefano zaidi ya mechi 300 Real Madrid, na kufanikiwa kushinda makombe nane ya ubingwa wa spain (La Liga)na five European Cups.
No comments:
Post a Comment