TRANSLATE THIS BLOG

Monday, September 10, 2012


Di Stefano: Pele Bora zaidi....

Legendary Real Madrid forward Alfredo Di Stefano anaamini kwamba mkongwe katika soka Pele alikuwa  ni bora kuliko Lionel Messi  Cristiano Ronaldo.

Lionel Messi

Di Stefano: Pele is better than Lionel Messi

Di Stefano kwa sasa anaumri wa miaka  86,amemsifia pele na kusema yeye alikuwa mkali kuliko ubora waliokuwa nao vijana hawa wa siku hizi japokuwa nao ni bora.

 "amesema pele ni mchezaji bora ambae hakuna tena atakaetokea kama yeye .... Messi na  Cristiano Ronaldo wote na bora lakini Pele alikuwa zaidi ," Di Stefano told El Colombiano.

Mu Argentine akaamua kuzungumzia tofauti za nyota hao wanaopatikana La Liga stars.

"Messi is the more technical player of the two. He's better inside the area, the way he handles the ball and dribbles. You can see that he enjoys himself playing," Di Stefano said.

"Cristiano has a better body and is physically very strong. He has pace, speed and is a player with courage, and he can use both feet."

Di Stefano zaidi ya mechi  300  Real Madrid, na kufanikiwa kushinda makombe nane ya ubingwa wa spain (La Liga)na  five European Cups.

No comments:

Post a Comment