Wenger Hana uhakika na Walcott kubakia gunners !!!!!!!.........
Meneja wa washika bunduki wa london Arsenal mzee
Arsen Wenger ,amesema hana uhakika na mustakabali wa
baadae wa winga wake wa kingereza Theo kama atakubali
kusain mkataba mpya ......na amekubali kuwa jambo hilo
kunchanganya .....
Walcot alikuwa ndie aliyehitimisha idadi ya magoli katika ushindi wa bao
6-1 dhidi ya New Boys Southampton katika uwanja wa nyumbani
Emarate wikiend iliyopita katika muendelezo wa ligi kuu uingereza....
Haya yamejiri baada ya kuibuka tetesi kwamba katika wiki ya mwisho
kabla ya dirisha la usajili kufungwa Walcott alikataa mkataba mpya
ambao angekuwa akipokea 75,000 pounds kwa week and was instead,
holding out for 100,000.
Theo 23,amesalia na mwaka mmoja tu kuitumikia Arsenal.
No comments:
Post a Comment