Del Bosque: kombe la Dunia 2014 limeanza kwa Spain
Bosi wa timu ya taifa ya spain ambae ndie bingwa wa dunia amesema wao wanaanza sasa harakati zimeanza kwaajili ya kujikakikishia wanapata ticket kwa ajilili ya World Cup mapema.
BINGWA MTETEZI SPAIN YUPO KUNDI I PAMOJA NA TIMU ZA France, Finland, Georgia NA Belarus ,KOCHA WA TIMU HIYO Del Bosque ANAMATUMAINI YA KUFANYA VIZURI KATIKA HATUA HII NA HAPO KESHO SHUGHULI INAANZA RASMI
"KOMBE LA DUNIA HALIANZI 2014,NI SASA DHIDI YA Georgia in Tbilisi," Del Bosque told AS. "NA ILI SPAIN WAENDELEE KUTETEA TAJI LAO NILAZIMA WAWE NA UBORA KWANZA KWA BRAZIL
Spain WANAINGIA UWANJANI KESHO KWA KUJIAMINI ZAIDI BAADA YA IJUMAA KUTOA KIPIGO CHA MBWA MWIZI KWA WARABU WA SAUDI ARABIA CHA BAO 5-0
No comments:
Post a Comment