TRANSLATE THIS BLOG

Monday, September 10, 2012


Del Bosque: kombe la Dunia  2014 limeanza kwa Spain

Bosi wa timu ya taifa ya spain ambae ndie bingwa wa dunia amesema wao wanaanza sasa harakati zimeanza kwaajili ya kujikakikishia  wanapata ticket  kwa ajilili ya World Cup mapema.Vicente Del Bosque, Spain


BINGWA MTETEZI SPAIN YUPO KUNDI I PAMOJA NA TIMU ZA France, Finland, Georgia NA Belarus ,KOCHA WA TIMU HIYO Del Bosque ANAMATUMAINI YA KUFANYA VIZURI KATIKA HATUA HII NA HAPO KESHO SHUGHULI INAANZA RASMI
"KOMBE LA DUNIA HALIANZI  2014,NI SASA DHIDI YA  Georgia in Tbilisi," Del Bosque told AS. "NA ILI SPAIN WAENDELEE KUTETEA TAJI LAO NILAZIMA WAWE  NA UBORA KWANZA KWA BRAZIL
Spain WANAINGIA UWANJANI KESHO KWA KUJIAMINI ZAIDI BAADA YA IJUMAA KUTOA KIPIGO CHA MBWA MWIZI KWA WARABU WA SAUDI ARABIA  CHA BAO 5-0

No comments:

Post a Comment